Friday, February 1, 2019

Daimond Awaonya Mbele ya Makonda Wasanii Wanaotoa Rushwa Wasafi Media Ili Ngoma Zao Zichezwe

Daimond Awaonya Mbele ya Makonda Wasanii Wanaotoa Rushwa Wasafi Media I'll Ngoma Zao Zichezwe

Msanii Diamond Platnumz ambae ni bos wa televiesheni ya wasafi ambae pia ni meneja wa ebo ya WCB amefunguka na kuwaonya wasanii ambao wamekuwa wakitoa pesa kwa ajili ya kutaka kupata nafasi za nyimbo zao kupigwa kati atv yake.

Diamond anasema kuwa kwa uande wake alishasema kabisa kuwa kila anaeleta nyimbo yake katika Tv hiyo basi itapigwa lakini kama kuna mtu anakuwa akitaka kutoa pesa ili aweze kupewa muda mwingi wakati kazi yake sio nzuri kuliko wengine basi huyo hana nafasi katika Tv hiyo.



Akiongea katika mkusanyiko mkubwa wa wasanii uliofanyika jana, baada ya mkuu wa mkoa kukutana na wasanii kuzungumzia changamoto za wasanii wa bongo movie , Diamond anasema kuwa tv yake ni bure kabisa na hakuna haja ya kutoa pesa.

No comments:

Post a Comment

Hivi Ndivyo Zari Alivyowaumbua Tanasha na Shilole

Mchumba wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ameendelea kutengeneza vichwa vya habari Bongo, Amani linaye....